• BCIC ni nini?
  • Uongozi wa BCIC
  • Huduma za BCIC
  • Sifa na Ibada
  • Kuabudu katika Roho na
    Kweli
  • Uinjilisti/Mavuno
  • Mikutano na maombezi
  • Ushauri binafsi

  • Mafunzo/ Ushirika
  • Mafunzo ya Uanafunzi
  • Mafunzo ya Ushirika
  • Mafunzo ya Utumishi
  • Mafunzo ya Uongozi
  • Semina mbalimbali

  • Uongozi /Malezi
  • Vikundi vya Malezi
  • Utumishi mitaani
  • Kujisajili Ushirika
  • Matendo ya miujiza
  • Waliofunguliwa
  • Waliookoka
  • Waliojazwa Roho
    Mtakatifu
  • Umuhimu wa kujaa
    Roho Mtakatifu
  • Mafundisho halisi
    ya Kristo
  • Njia rahisi ya
    kushinda majaribu
  • Mafunzo ya Ushirika
  • Mafunzo ya Utumishi
    wa Awali
  • Mafunzo ya Uongozi
  • Nini maana ya
    kujikana nafsi yako?
  • Uongozi wa Roho
    Mtakatifu ukoje?
  • Usimamizi, malezi ya
    Vipawa vya Kiroho
MAOMBEZI BCIC
SHUHUDA MBALIMBALI
MAFUNZO MUHIMU
Tafadhali tupe maoni yako
Huduma husika
Jina lako:
*
Email:
*
Shirika:
Kazi yako:
Somo:
Maswali, Ushauri, au ulivyopokea:
*


  • TOSHEKA NAYE

  • BORA SUBIRI

  • USHAURI NASAA

  • HUDUMA YA AFYA

  • MAOMBEZI KWA WANAOISHI
    NA VIRUSI
  • SEMINA NA MAFUNZO KWA
    WASHAURI NASAA
WAPO MEDIA
HUDUMA ZA KIJAMII
Shule baada ya kumaliza mitihani yake na wanafunzi
wa Darasa la nne kufanya mtihani wa Taifa kujiandaa
kuingia darasa la tano, sasa wanafunzi wote wameenda
likizo katika mapumziko ya kawaida kwa taratibu za
shule za Tanzania. Katika matangazo yake katika
vyombo vya Habari, ziko nafasi kwa ajili ya wanafunzi
wa darasa la Kwanza, pia kuna nafasi chache katika
madarasa mengine. Shule inazingatia darasa kuwa na
wanafunzi wachache ili elimu iwe bora (Masomo yote ni
Kiingereza isipokuwa somo la Kiswahili tu. kwa
mawasiliano zaidi tuma maoni kupitia Email:
shalomschool@wapotz.org
Shule ipo Kurasini Barabara ya Kilwa nyuma ya Chuo Kikuu cha
Polisi. Uliza WAPO Radio, mara moja utafika; Pre_Primary
wanapokelewa ili kuwawekea msingi mzuri wa elimu.
SHALOM PRE-PRIMAY SCHOOL (Shule inayotumia Kiingereza kufundishia)
HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI
Maombi yabadilisha historia ya
maisha katika familia Dar
Afisa Elimu taaluma wa Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani,  Bi.
Zipora Adriani, mkazi wa Ukonga, Jijini Dar es Salaam,
ameelezea jinsi familia yake ilivyoponywa na magonjwa
mbalimbali baada ya kuombewa kwenye kituo cha maombezi,
BCIC, huko Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam Tanzania
Akiongea na Safu ya Shuhuda, mama huyo alisema yeye
pamoja na mume wake na watoto wake watatu, aliowataja kwa
majina ya Benedict (13), Lucy (10) na Clara (6), walikuwa
wakisumbuliwa na magonjwa kwa muda mrefu lakini sasa
wamepona.
Habari Kamili fungua hapa
Shule inatangaza nafasi za masomo katika Darasa la
Kwanza na nafasi chache katika madarasa ya pili,
tatu, nne,tano, sita na Saba
Fika mwenyewe au,
Mlete mwanao katika Shule ya Shalom kwa elimu bora
kabisa.
  • Watoto wanasafirishwa hadi shuleni na kurudi
    majumbani
  • Wanapata chai safi asubuhi
  • Wanapata chakula bora cha mchana
  • Kila darasa tumeliwekea wanafunzi wachache
    ili kuwapa elimu bora
  • WAHI NAFASI NI CHACHE
Piga simu kwa Na. 0754 - 618 690
Wakati upentekoste unafikisha karne moja hivi sasa tangu wimbi lake lilipoibuka
mwaka 1906, Kanisa Katoliki limekiri kuwa umekuwa tishio, kutokana na imani ya
kipentekoste kuingia kwa kasi ndani ya Kanisa hilo. Imani ya Kipentekoste ndani ya
Kanisa hilo inafahamika kama  vuguvugu la ‘Karismatiki’ au maarufu kama
Charismatic Renewal Movement. Hayo yalisemwa na Msaidizi wa  Mkuu wa Kanisa
Katoliki Ulimwenguni, Papa Benedict XVI, Monsinyori  Juan Usma Gomez, ambaye
alitoa kauli ya Kanisa Katoliki kukiri kitisho kinachotokana na kukua kwa  
upentekoste,  wakati wa mkutano maalumu ulioshirikisha  wawakilishi wa madhehebu
ya Kipentekoste na Kanisa Katoliki.Pichani (kushoto) ni Mwakilishi wa Vuguvugu hilo,
Bw. Stanley Burgess, ambapo kulia ni  Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa
Benedict  XVI.
Msemakweli Toleo Na. 484. HABARI ZAIDI FUNGUA HAPA
Kanisa
Katoliki
lakiri
Upentekoste
ni tishio
kubwa la
karne kwake
WAPO MISSION INTERNATIONAL